Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara
Matukio ya unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni yaongezeka nchini Kenya
Katika mtandao wa intaneti nchini Kenya uliotawaliwa na wanaume, wanawake mara nyingi huwa walengwa wa matusi
Mpango wa kutoa chanjo ya UVIKO-19 nchini Kenya waibua matabaka ya maskini na wasiojiweza
Wafanyabiashara na wanasiasa wanapata chanjo mapema wakati Wakenya masikini na wazee wakisimama kwenye foleni ndefu.
TAZAMA/SIKILIZA: Kupambana na miiko inayozuia utoaji mimba
Ulikosa matangazo mubashara ya kipindi cha Global Voices Insights cha Aprili 7 kuhusiana na masuala ya haki za kutoa mimba katika nchi tano? Tunakirudia hapa.
Baada ya Magufuli, Tanzania itarekebisha sheria kandamizi za maudhui ya mtandaoni?
Kanuni za maudhui ya mtandaoni nchini Tanzania zinatumiwa kuminya na kubana haki za matumizi ya mtandao na uhuru wa kujieleza. Je, kuapishwa kwa Rais mpya kutabadili sheria hizi kandamizi?
Kubadilika kwa Utawala Nchini Tanzania: Kutoka Rais Magufuli mpaka Rais Hassan
Kwa baadhi, Magufuli anakumbukwa kama "Mwana wa Afrika kweli kweli" mpigania haki za wa-Afrika aliyetanguliza maslahi ya Afrika mbele. Wengine wanamkumbuka kama Rais 'mpenda umaarufu" aliyepigania uzalendo — kuliko kingine chochote.
Nchini Tanzania, Serikali kukanusha uwepo wa UVIKO -19 kwawanyima wananchi taarifa muhimu za afya
Tangu mwezi Machi 2020, serikali ya Tanzania imenyamaza kuhusu virusi vya korona na hakuna takwimu zozote zinatolewa kuhusu maambukizi ya ugonjwa huo au vifo.
Taarifa Za Ndani Zinasema; Wanafunzi wasiopungua 15 ‘Walitiwa mimba na wakufunzi’ katika chuo cha Polisi Msumbiji
Nyaraka hizo zilisema kuwa ujauzito huo ulitokana na mahusiano ya kingono baina ya wakufunzi bila kueleza kama mahusiano hayo yalikuwa ya hiari au lah.
Umoja wa Afrika wageukia teknolojia ya uangalizi wa kibiolojia kukabiliana na COVID-19
PanaBIOS,teknolojia ya ufuatiliaji binadamu unao ungwa mkono na Umoja wa Afrika, unaweza fuatilia usambaa wa COVID-19 na kukutanisha vituo vya vipimo barani.
Maandamano Nchini Angola Yakitaka Haki Itendeke Kwa Silvio Dala, Daktari Aliyefariki Akiwa Mikononi Mwa Polisi
Waandamanaji na Chama cha Madaktari waliikosoa taarifa ya polisi kuhusu tukio hili inayosema Dala alifariki baada ya kuzimia na kuanguka akiwa kituo cha Polisi
Jinsi Mauaji ya Mwanamuziki Hachalu Hundessa Yalivyochochea Uvunjifu wa Amani Huko Ethiopia: Sehemu Ya I
Baada ya mauaji ya Hachalu Hundessa, Ethiopia inapambana kutuluza vurugu zilizotokea baina ya makundi ya kikabila na kidini.