Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Juni, 2017
Vyombo vya Habari Tanzania Vyapotosha Mgogoro wa Serikali na Kampuni ya Madini
Mwenyekiti wa kampuni ya madini Barrick Gold amesema jambo moja, lakini vyombo vya habari vimeandika jambo tofauti kabisa.
Baada ya Tishio la Ebola Kuondoka, Marekani Yalitaka Kundi La Wahamiaji Kutoka Afrika Magharibi Kurejea Makwao
Waliingia Marekani kwa mujibu wa sheria kama watu waliotoka kwenye nchi zenye migogoro. Sasa, mgogoro umekweisha, lakini imekuwa vigumu kwao kurudi nyumbani.
Jukwaa Hili Limewasaidia Maelfu ya Wahamiaji Kukutana Tena na Familia Zao Nyumbani
Duniani kote, takribani watu miliaoni 65 ambao, kwa sababu moja au nyingine, wamelazimishwa kuyakimbia makazi yao. Jukwaa hili linalenga kukutanisha familia zilizovunjika.