Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Aprili, 2014
Msiyalaumu Mataifa ya Magharibi kwa Matatizo ya Afrika
Gershom Ndhlovu anasema kuwa viongozi wa Afrika wanafanya kosa kuzilaumu nchi za Magharibi kwa matatizo ya Afrika: Kwenye mkutano wa hivi karibuni wa Umoja wa Ulaya ulifanyika nchini Ubeligiji, rais...
Kampeni ya ‘Piga Kura ya Hapana’ Yawahamasisha Waafrika Kusini Kuvitelekeza Vyama Vikubwa
Kikundi cha wanasiasa kimezindua kampeni ya "Amka! Tumechoshwa! mnamo April 15, 2014 wakati uchaguzi wa nchi hiyo umekaribia.
Maelfu Wamiminika Kumwona Yesu ‘Aliyetokea’ Nchini Cameroon
"Bado ninasubiri mtu aweke posti yenye picha aliyopiga na Yesu aliyetokea Odza."
Serikali Mpya ya Waziri Mkuu Roger Kolo Yatangazwa Nchini Madagaska
Mtandao wa Tananews nchini Madagascar umechapisha orodha kamili ya mawaziri 31 wa serikali mpya ya Madagaska [fr]. Mitsangana Madagascar anasema kwamba orodha hiyo ina wanawake 6 na kuwa mawaziri 7...
Kikundi cha Boko Haram Chaendeleza Vitendo Vya Kigaidi Nchini Nigeria
Wiki za hivi karibuni, wanajihadi wa kundi la kigaidi la kiislam liliwachinja raia wa Nigeria wasio na hatia.
Rais Mugabe Anadhani Naijeria Inanuka Ufisadi Kuliko Zimbabwe
"#Mugabe ana ujasiri wa kuiita serikali ya Naijeria kuwa imekithiri ufisadi. Serikali ya Naijeria ina haki ya kijisikia kutukanwa."
Asilimia 20-40% ya Fedha Katika Sekta ya Maji Barani Afrika Hupotelea kwa Utoaji Rushwa
Mustapha Sesay, Balozi wa Uadilifu wa Afrika Magharibi aliandika kuhusu ufisadi katika sekta ya maji kwenye mtandao wa Waandishi wa Habari wa WASH wa Afrika Magharibi : Suala la upatikanaji...
Mgogoro Usiopewa Uzito Stahiki Nchini Burundi
Wakati nchi jirani ya Rwanda inagonga vichwa vya habari na maadhimisho ya mauaji ya kimbari ya mwaka wa 1994 na kuongezeka kwa mvutano na Ufaransa, Burundi imeharibiwa katika kupuuzwa kwa...
Niger Yapata Kituo Chake cha Kwanza cha Reli Baada ya Kusubiri kwa Miaka 80
Aprili 7, Niger ilizindua katika mji mkuu wa Niamey kituo chake cha kwanza cha treni kuwahi [fr]. Mamlaka tayari ilikuwa na makadirio ya ujenzi wa kituo cha treni miaka 80...
Mradi Wa Kutumia Simu za Mkononi Kuhamasisha Usomaji
Lauri anaandika kuhusu mradi uliopo Afrika Kusini, Mfuko wa Usomaji wa FunDza, unaotumia teknolojia ya simu za mkononi kuhamasisha tabia ya kusoma kwa watoto: Kinachofurahisha, hata hivyo, ni pale Waafrika...