Habari kuhusu Utamaduni
Mshindani wa Msumbiji Ashinda Mashindano ya Kimataifa ya Kutunisha Misuli nchini Hong Kong
Saraiva ni mtu mashuhuri kwa kutunisha misuli nchini Msumbiji.
Wanahabari Hawa wa Colombia Wanahitaji Kuelewesha kuwa Pablo Escobar Hakuwa Shujaa
"Huyu 'shujaa' ametulazimisha kujifungia ndani ya nyuma, ametufanya tustukiane, na wakati mwingine kugombana."
Jumuiya ya Mashoga Nchini Guyana Yaandaa Maandano ya Kwanza Kujivunia Ushoga
"#Guyana imebaki kuwa nchi ya pekee barani Amerika Kusini ambako ushoga bado ni kinyume cha sheria. Nchini humo, pamefanyika maandamano ya kwanza ya kujivunia ushoga. Huenda hiyo ni hatua ya kuelekea kuuhalalisha ushoga..."
Mamlaka za Iran Zawakamata ‘Watumiaji wa Instagram’ katika harakati za Kudhibiti Mitandao ya Kijamii

Mamlaka ya Irani yatangaza kuondoa Instagram kwa sababu ya maovu ya "watumiaji mashuhuri wa Instagram". Siku chache baadaye, shirika la utangazaji la serikali afichua kukamatwa kwa "watumiaji mashuhuri wa Instagram."