Habari kuhusu Uchaguzi
Papa Francis Kutembelea Msumbiji Mwezi Septemba, Kipindi cha Kampeni ya Uchaguzi Mkuu
Msumbiji itakuwa na uchaguzi mkuu mwezi Oktoba na bado haijapata nafuu kutokana na kimbunga ambacho kimeharibu kabisa Beira ambao ni mji mkubwa wa pili.
Tunaelewa Nini Kuhusu Uchaguzi Mkuu Ujao Nchini Msumbiji?
Mnamo Oktoba, 2019 Msumbiji itachagua magavana wake kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo. Kabla ya uchaguzi huu, magavana hawa waliteuliwa na rais.
Wafahamu Wagombea wa Kiti cha Urais Naijeria katika Uchaguzi wa 2019
Mpambano wa kuwania Ikulu ya Aso Rock — nafasi ya Urais wa Naijeria. Wafahamu wagombea wa uraisi kwenye kiti cha Rais.
Guinea Inataabika Chini ya Rais Condé Anayeungwa mkono na Urusi Kubadili Katiba Agombee Awamu ya Tatu
"Suala la nani agombee nafasi ya urais ni suala la ndani ya nchi. Na mamlaka ya nchi yako chini ya wananchi. Si kazi ya balozi kuamua mustakabali wa nchi ya Guinea."
Mpambano wa Majenerali Wastaafu wa Jeshi la Naijeria na Mchango wao Katika Uchaguzi wa Rais 2019
Olusegun Obasanjo, mwanajeshi wa zamani aliyepata kuwa mkuu wa na baadae kuwa rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia, amekuwa akisikika akiwakosoa watawala wa Naijeria.
Wahalifu na Vita vya Kibiashara: Ni Mexico ya Aina Gani Inayomsubiri Rais Mpya?
"Leo nchini Mexico mtu hawezi kujipatia mamlaka kwa kutumia silaha, lakini anaweza kuwa na mamlaka wakiwa na salaha."
Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Nawaz Sharif na Binti Yake Anarudi Pakistani Akikabiliwa na Hukumu ya rushwa
"Hukumu hii ni maendeleo makubwa katika vita dhidi ya ufisadi, na kila fisadi lazima aandikwe kwenye kitabu cha walioiibia nchi."