Habari Kuu kuhusu Australia
Habari kuhusu Australia
Australia Waikumbuka Jumamosi Nyeusi kwa Kuadhimisha Miaka 10 ya Janga la Moto wa Nyika
"Miaka kumi kamili, na bado sidhani kama kuna siku imepita bila kuitaja – au hata kufikiria – tukio la moto"
Riwaya Hii ya Kidigitali Yasimulia Vurugu Dhidi ya Waindonesia Wenye Asili ya China Walioandamana Nchini Indonesia Mwaka 1998
"Miaka 20 sasa, mwaka 1998 hautambuliki. Kuna mambo mengi yamefanyika kurekebisha hali ya mambo na kudai namna mbalimbali za haki."
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Hatutaki Mazoea
Wiki tunakusimulia visa vya maandamano, majanga na ubaguzi vinavyofanyika Ethiopia, Egypt, Pakistan, Trinidad na Australia.
Wenyeji wa Visiwa vya Pasifiki Waizuia Meli za Makaa ya Mawe Kupinga Mabadiliko ya TabiaNchi
Kwa kutumia ngalawa zilizotengenezwa kwa mkono, washujaa wa mabadiliko ya tabianchi, wakishirikiana na raia wa Australia, waliweza kuzuia meli 10 zilizokuwa zitumie bandari ya Makaa ya mawe ya Newcastle.
Kupotea kwa Ndege ya MH370: Waziri Mkuu wa Australia Ajichanganya
Waziri Mkuu wa Australia Tony Abbott anazungumza kuhusu zoezi la utafutaji wa ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH370.
Vazi la Burka Lauelemea Utaratibu wa Tamaduni Mbalimbali Kuishi Pamoja
Tangu mapendekezo ya kupiga marufuku uvaaji wa burqa au hijab huko Ufaransa, suala hilo limekuwa likitokota katika ulimwengu wa bloghu wa Australia. Mtangazaji wa redio katika mtindo wa kushtua umma, ambaye pia ni askari polisi wa zamani, alishutumiwa hivi karibuni juu ya kupinga kuvaliwa kwa hilo vazi la burqa.
Australia: Mauaji ya Mhindi Yazua Mzozo
Mauaji ya mtu mwenye asili ya India mjini Melbourne yamewasha tena mjadala kuhusu ubaguzi wa rangi nchini Australia na usalama wa wanafunzi kutoka ng’ambo. Kadhalika yameathiri uhusiano kati ya Australia na India. Mwandishi wa GV Kevin Rennie anakusanya maoni ya wanablogu wa Australia.
Australia: Wanawake wa Kenya wakataliwa haki ya ukimbizi
Wanawake wawili wanakabiliwa na uwezekano wa kutimuliwa kutoka Australia baada ya maombi yao ya kuomba hifadhi kukataliwa, pamoja na hatari wanayoweza kuipata ya kulazimishwa tohara ya kike ikiwa watarudishwa nyumbani.