Habari kuhusu Utamaduni
Jumuiya ya Mashoga Nchini Guyana Yaandaa Maandano ya Kwanza Kujivunia Ushoga
"#Guyana imebaki kuwa nchi ya pekee barani Amerika Kusini ambako ushoga bado ni kinyume cha sheria. Nchini humo, pamefanyika maandamano ya kwanza ya kujivunia ushoga. Huenda hiyo ni hatua ya kuelekea kuuhalalisha ushoga..."
Mamlaka za Iran Zawakamata ‘Watumiaji wa Instagram’ katika harakati za Kudhibiti Mitandao ya Kijamii
Mamlaka ya Irani yatangaza kuondoa Instagram kwa sababu ya maovu ya "watumiaji mashuhuri wa Instagram". Siku chache baadaye, shirika la utangazaji la serikali afichua kukamatwa kwa "watumiaji mashuhuri wa Instagram."
Riwaya Hii ya Kidigitali Yasimulia Vurugu Dhidi ya Waindonesia Wenye Asili ya China Walioandamana Nchini Indonesia Mwaka 1998
"Miaka 20 sasa, mwaka 1998 hautambuliki. Kuna mambo mengi yamefanyika kurekebisha hali ya mambo na kudai namna mbalimbali za haki."
Samahani, Siongei Kiingereza. Naongea kwa Picha
"Hakuna kisichoweza kupigwa picha, hakuna kisichoweza kutupa simulizi jipya."
Miongo Minane Chuki Bado Ipo Kati ya Wajordani na Wapalestina
Ingawa kuishi pamoja kwa watu wawili huwafanya wawe na amani, ushirikiano mkamilifu bado haujawezekana kwenye baadhi ya maeneo ya maisha.
Bangladeshi Yasherehekea Kurushwa Angani Kwa Setilaiti Yao Kwa Mara ya Kwanza
"Kurushwa kwa chombo hiki cha Bangabandhu Satellite-1 kumethibitishwa. labda hivi ndivyo nchi inavyobadilika. Tunajisikia fahari sana."
Zoezi la Historia Lililotolewa Shuleni Kuhusu Namna ya Kufundisha Utumwa Lazua Mzozo Jamaica
"Sasa kwa zoezi hili, je, Hillel wangeweza kutoa zoezi kuhusu Vita vya Pili vya Dunia ili mwanafunzi aje na mbinu za Ujerumani iliyotawaliwa na Manazi kuwaua Wayahudi?"
Mwanzo Mpya Kwa Malaysia Baada ya Wapiga Kura Kuuangusha Utawala wa Miongo Sita wa Chama Tawala
"Barisan Nasional si mtawala wetu tena. Masaa machache kuanzia sasa, jua litaanza kuchomoza. Tunashuhudia Malaysia mpya ikitusalimia."
Msanii Duo wa Nepal Aweka Tumaini la Michoro ya Utupu Kuhamasisha Wanaume Kujipambanua Zaidi
“INi jambo jema ukijikubali, ni vizuri, wanaume wanaweza pia kulia, wanaweza pia kujijali"
Mchora Vibonzo vya Kisiasa Nchini Malaysia Zunar Aishitaki Polisi Kwa Kumkamata Kinyume cha Sheria na Kushikilia Vitabu
"You can ban my books, you can ban my cartoons, but you cannot ban my mind. I will keep drawing until the last drop of my ink."