Habari Kuu kuhusu Siasa
Habari kuhusu Siasa
Jinsi Mauaji ya mwanamuziki Hachalu Hundessa yalivyochochea uvunjifu wa amani nchini Ethiopia: Sehemu Ya ll
Saa moja baada ya mauaji ya Hachalu Hundessa, wananchi wa mitandaoni waonesha picha, nadharia, lugha za chuki na kampeni zaa uongo — Facebook, Twitter na YouTube.
Mwanamke wa tano auawa nchini Azerbaijan katika kipindi cha siku 10
Mwanawake aliyenyongwa hadi kufa nchini Azerbaijan ni wa tano kuuawa kwa sababu ya mgogoro binafsi na mwuuaji ndani ya siku 10.
TAZAMA/SIKILIZA: “Kwenda zaidi ya Maandamano,” mazungumzo na Tanya Lokot
Ulikosa matangazo mubashara ya Juni 17 kuhusu "Mazungumzo ya Global Voices" yaliyomshirikisha msomi wa masuala ya habari Tanya Lokot kuhusu kitabu chake cha "Beyond the Protest Square"? Tazama hapa video na sauti ya marudio ya matangazo hayo.
Rajisi ya Usajili wa Watumiaji wa Simu za Mkononi Nchini Mexico Yazua Hofu Kuhusu Haki ya Faragha
"Uanzishwaji wa rajisi kam hii ulifanyika mwaka 2009, hata hivyo, kanzidata hii iliishia kuvujisha taarifa za watu na baadae kufikia uamuzi wa kuuzwa."
Watumiaji wa simu za mkononi wanajilinda vya kutosha dhidi ya ukiukwaji wa haki ya faragha?
Kwa makampuni ya teknolojia, taarifa binafsi za watu ni chanzo kikuu cha mapato yao. Hata hivyo, watumiaji wa makampuni haya wanakabiliwa na hatari kubwa ya usalama wa taarifa zao. Je, kuna njia muafaka ya kulinda haki yao ya faragha?
Mnigeria Abubakar Idris Dadiyata Bado Hajapatikana, Ni Mwaka Mmoja Sasa Baada Ya Kutekwa
“Jinsi gani Dadiyata anaweza kupote kwa mwaka mzima ndani ya Nigeria na serikali haina wasiwasi na jambo hili, zaidi inatafuta kujiosha badala ya kuwajibika kumtafuta?”
Machapisho Katika Kurasa za Facebook Zachochea Ongezeko la Watu Kukamatwa Huko Bangladesh, Wavuti Waingiwa na Wasiwasi
Watu wawili walikamatwa Mei 14 na 15, kwa sababu ya maoni waliyobandika Facebook. Kukamatwa kwao kumeamsha hasira na wasiwasi katika mitandao ya kijamii huko Bangladesh.
Rais Wa Umoja Wa Wanafunzi Wa Thailand Akamatwa Kwa Kushiriki Maandamano Ya Kuipinga Serikali
“Rangi inaweza kusafishwa, lakini hauwezi kusafisha uonevu.”
‘Hakuna kupiga Kura Mpaka Barabara Ijengwe': Sababu ya Wanakijiji cha Goa Kususia Uchaguzi Mkuu wa India
Barabara mbaya, ukosefu wa huduma za maji na umeme ziliwasukuma Wagoha hawa kugomea uchaguzi unaoendelea huko Lok Sabha katika kijiji cha Marlem.
Waandishi Wa Habari wa Msumbiji Waachiwa Huru Baada ya Kukaa Kizuizini Kwa Miezi Kadhaa Bila Kufunguliwa Mashtaka
Amade Abubacar na Germano Adriano walikuwa kizuizini tangu Januari lakini walishtakiwa tu hapo Aprili 16. Kwa sasa wanasubiri shauri lao lisikilizwe wakiwa chini ya uangalizi.