Habari kuhusu Siasa kutoka Julai, 2016
Hiyo Ndiyo Sababu ya Google Kubadili Majina ya Baadhi ya Miji ya Crimea—na Sasa Inarudisha Majina ya Awali
Kama vile ni miujiza, Google ilibadili ghafla baadhi ya majina ya miji kwenye pwani ya Crimea —kwa kutumia huduma yake ya Ramani za Google
Je, Waziri Mkuu wa Malaysia Ndiye Mhusika Mkuu wa Kashfa ya Ufisadi wa Dola Bilioni Iliyotajwa na Marekani?
"Nina hasira kwamba fedha za wananchi zinatumiwa kama vile ni za mtu binafsi. Hazira yangu inakuwa kali kwa sababu huyu 'Afisa wa Malaysia1' hakamatiki hapa"
Wananchi wa Uganda Wanataka Serikali Isaidie Kunusuru Shule, Sio Matajiri
Kubinafsisha faida na kuchangia hasara. Lazima wote tuchangie hasara ya biashara za matajiri lakini lini tulichangia faida wanayopata?
Maafisa wa Myanmar Waungwa Mkono Mitandaoni Kupinga Kikundi Cha Ki-Buddha Chenye Msimamo Mkali
Alama Ishara ya #NoMaBaTha ilianzishwa kwenye mtandao wa facebook kumwonga mkono Waziri anayeshambuliwa kwa kukipinga kikundi cha msimamo mkali cha ki-Budhha nchini Myanmar.
Ayatollah Khomeini Alifariki Miaka 27 Iliyopita, Lakini Msaidizi wa Trump Anamtaka Alaani Shambulio la Nice Hivi Karibuni
Akiongea kwenye Kituo cha Fox News akiwa na Megyn Kelly, Flynn alisema kwa hasira, “Ninamtaka Imam, au Khomeini, atoke hadharani alaani itikadi hii ya isiyojitenga na damu ya Uislamu."
Picha ya Rais wa Uganda Akipiga Simu Pembeni mwa Barabara Yazua Gumzo Twita
"Nadhani ingefaa iwe USIENDESHE NA KUPIGA SIMU/KUANDIKA UJUMBE"
“Wiki Ilivyokwenda” Global Voices: Kujitoa kwa Uingereza Kutoka Umoja wa Ulaya Kwawa Gumzo
Wiki hii, tunakupeleka kwenye nchi za Caribbiani, Brazil, urusi, Tanzania na Azerbaijan.