Habari kuhusu Siasa kutoka Juni, 2021
Rajisi ya Usajili wa Watumiaji wa Simu za Mkononi Nchini Mexico Yazua Hofu Kuhusu Haki ya Faragha
"Uanzishwaji wa rajisi kam hii ulifanyika mwaka 2009, hata hivyo, kanzidata hii iliishia kuvujisha taarifa za watu na baadae kufikia uamuzi wa kuuzwa."
Serikali ya Nijeria yaifungia Twita baada ya mkanganyiko wa twiti ya rais iliyotishia matumizi ya nguvu kufutwa
Watumiaji wa twita nchini Naijeria kutoka kwenye makabila mbalimbali yalitumia majina ya Kiigbo kukuza alama habari ya #IamIgboToo kuonesha mshikamano wao na watu wa kabila la Igbo waliotishiwa na twiti ya Rais Buhari.