Habari kuhusu Upiga Picha

Katika Picha: Gaza Yaadhimisha Eid Al-Adha

Ikiwa na zaidi ya Wapalestina 2,000 waliojeruhiwa katika mashambulizi ya hivi karibuni yaliyofanywa na Isralei katika Ukanda wa Gaza, raia bado wanaona leo hii kuna kila sababu ya kusherehekea sikukuu ya Kiislam ya Eid Al-Adha.

9 Oktoba 2014