Habari kuhusu Sheria
Angola Yakabiliana na Tuhuma za Ubadhilifu kwa Kufuta Zabuni, Serikali Yadaiwa Kugawanyika
kampuni ya Telstar ilianzishwa mwzezi Januari 2018 na mtaji wa Kwanza 200,000 (sawa na dola za kimarekeni 600), na mdau mkubwa ni general Manuel João Carneiro.
Tunaelewa Nini Kuhusu Uchaguzi Mkuu Ujao Nchini Msumbiji?
Mnamo Oktoba, 2019 Msumbiji itachagua magavana wake kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo. Kabla ya uchaguzi huu, magavana hawa waliteuliwa na rais.