· Januari, 2010

Habari kuhusu Sheria kutoka Januari, 2010

Msumbiji: Kifo Cha Mradi Mkubwa wa Mazao Nishati

Mwishoni mwa mwezi Disemba, Baraza la Mawaziri la Msumbiji lilitoa tamko muhimu. Kibali cha kutumia Hekta 30,000 za ardhi kwa kampuni ya mazao nishati (biofuels) Procana, kimebatilishwa. Shauri la Mradi wa Procana, ulipo kwenye eneo kubwa linalopakana na Mbuga ya Taifa ya Limpopo ambayo imetanda mpaka nje mpaka wa nchi, lilikuwa na utata pamoja na mvutano mkubwa tangu (shauri hilo) lilipoanza mwanzoni mwa mwaka 2007.

China: Adhabu ya Kifo kwa Akmal, ni Tendo la Kufuta Aibu ya Zamani

  2 Januari 2010

Akmal Shaikh, raia wa Uingereza aliyeshtakiwa kwa kuingiza mihadarati kinyume cha sheria nchini China, aliuwawa siku ya Jumanne japokuwa familia yake pamoja na serikali ya Uingereza waliomba adhabu ipunguzwe, wakidai kuwa alikuwa ni mgonjwa wa akili. Mahakama Kuu ya China hata hivyo ilikataa ombi la kuangalia hali ya akili ya...