· Oktoba, 2009

Habari kuhusu Sheria kutoka Oktoba, 2009

Marekani: Wanandoa wa rangi tofauti wanyimwa cheti cha ndoa

  25 Oktoba 2009

Juma lililopita huko Hammond, Louisiana, wapenzi wawili walituma maombi ya kibali cha kufunga ndoa na walikataliwa kwa misingi ya rangi zao tofauti. Afisa wa kutathmini na kuandikisha nyaraka (Muamuzi wa Amani) alidai kuwa “ndoa baina ya watu wa rangi hazidumu” na alisema kuwa anafanya hivyo “kwa ajili ya watoto.”