Habari kuhusu Majanga
Australia Waikumbuka Jumamosi Nyeusi kwa Kuadhimisha Miaka 10 ya Janga la Moto wa Nyika
"Miaka kumi kamili, na bado sidhani kama kuna siku imepita bila kuitaja – au hata kufikiria – tukio la moto"
Sabika Sheikh, Mwanafunzi wa Pakistan Aliyetaka Kuunganisha Nchi Mbili Auawa kwa Kupigwa Risasi
"...alisema...' Ninataka kujifunza utamaduni wa ki-Marekani na ninataka Marekani kujifuzna utamaduni wa Pakistan na ninataka tuje pamoja na tuungane," mama yake wa kufikia anakumbuka.
Siku ya Maombolezo Mjini Kyrgyzstan Kufuatia Ajali ya Ndege ya Mizigo, Iliyoua Watu Zaidi ya 30
Waliopoteza maisha wengi wao ni wenyeji wa Kyrgyz kutoka kwenye kijiji cha jirani, na habari zaidi zinaendelea kupatikana.
Jinsi Raia wa Mynmar Wanavyokabiliana na Kupanda kwa Joto Kunakotokana na El Niño
El Niño tayari imeshasababisha ukame katika maeneo mengi ya Myanmar. Fuatilia kujua namna wakazi wanavyokabiliana na joto kali.
Namna Hali ya Hewa ya El Niño Inavyoathiri Maeneo ya Nyanda za Juu Nchini Myanmar
"Ziwa lililopo karibu na kijiji chetu lilikauka miezi miwili iliyopita. Mwaka uliopita, tuliweza kuchota maji katika ziwa hili hadi ilipofika mwezi Machi."
Mradi wa Picha Waelezea Maisha Nchini Nepali Baada ya Kutokea kwa Tetemeko la Ardhi
Mradi wa pamoja wa Picha unaoendeshwa kuptia Instagram na Facebook unakusanya maisha mbalimbali ya kila siku Nchini nepali kufuatia matetemeko mabaya ya ardhi ya hivi karibuni.
Timu ya Uokoaji ya Mexico Yaomba Michango Iende Kusaidia Nepal
Urgen donativos para 25 rescatistas paypal:donativos@brigada-rescate-topos.org CLABE Santander:01418092000709294 tel.5554160417 #ToposANepal — Topos México (@topos) April 27, 2015 Michango inahitajika mara moja kwa waokoaji 25 kwa njia ya paypal: donativos@brigada-rescate-topos.org CLABE Santander:01418092000709294...
Mbali na Kusikia Habari za Boko Haram Nchini Niger, Fahamu Jangwa la Ténéré

Niger ipo katika vita na Boko Haram. Tusilisahau hili, hata hivyo, Niger ni mahali palipo na miradi mingi na pia ni eneo lililosheheni utajiri mwingi wa asili pamoja na ushairi.