Habari Mpya
Je Sera ya Lugha Tanzania inabagua lugha za asili?

Kuna takribani lugha 150 nchini Tanzania, lakini lugha ya Kisawhili imepewa upendeleo mkubwa, hasa katika muktadha wa elimu ya msingi. Wanazuoni Hannah Gibson (Chuo Kikuu cha Essex) na Gastor Mapunda...
Nanjala Nyabola ajiunga na Global Voices kuwa Mkurugenzi wa Advox

Kama mkurugenzi wa mradi wa utetezi (Advox), Nanjala ataongoza uhariri wa uandishi wa habari za Global Voices, utafiti, uanaharakati na utetezi wa uhuru wa kujieleza na haki za kidijitali na teknolojia.
Nani Jansen Reventlow na Rasha Abdulla waungia kwenye bodi ya Global Voices
Tunafurahi kutangaza kuongezeka kwa wanachama wawili makini waliojiunga na bodi yetu ya wakurugenzi
TAZAMA/SIKILIZA: “Kwenda zaidi ya Maandamano,” mazungumzo na Tanya Lokot
Ulikosa matangazo mubashara ya Juni 17 kuhusu "Mazungumzo ya Global Voices" yaliyomshirikisha msomi wa masuala ya habari Tanya Lokot kuhusu kitabu chake cha "Beyond the Protest Square"? Tazama hapa video na sauti ya marudio ya matangazo hayo.