Septemba, 2009

Habari kutoka Septemba, 2009

Philippines:Mafuriko Mabaya Zaidi Katika Kipindi cha Miaka 40

  30 Septemba 2009

Kimbunga kilichopewa jina la 'Ondoy" kimeikumba Philippines jumamosi iliyopita na kusababisha mafuriko mabaya zaidi katika kipindi cha miaka 40 ambayo yamesababisha vifo vya watu 50 na kusababisha wakazi 280, 000 kupoteza makazi. Tovuti za kijamii zilipashana habari za kimbunga hicho na jinsi ya kuwasaidia walioathirika.