Habari kuhusu Harakati za Mtandaoni
Wabrazili Waingia Mitaani Kumpinga Bolsonaro Kupunguza Fungu la Elimu
Kutoka São Paulo mpaka Amazon, maelfu wa wa-Brazili waliingia mtaani mnamo Mei 15 kupigania elimu ya umma.
#MatrikiUtambulisho: Mazungumzo ya Twita yanayoangazia utambulisho na haki za kidijitali barani Africa

Wanaharakati kutoka Burkina Faso, Nijeria, Afrika Kusini na Kenya, wataongoza mazungumzo kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia lugha zao za asili kuhusu masuala ya lugha, makabila na haki za kidijitali barani Afrika.