· Oktoba, 2013

Habari kuhusu Harakati za Mtandaoni kutoka Oktoba, 2013

Hong Kong: Pinga Biashara ya Pembe za Ndovu

Muungano wa watu binafsi na Asasi Zisizo za Serikali zinazoguswa na tatizo la ujangili wa tembo, Hong Kong kwa Tembo, uliandamana Oktoba 4, wakiitaka Hong Kong kuteketeza hifadhi yake ya tani 25 za pembe za ndovu.

6 Oktoba 2013

GV Face: Wanawake Nchi Saudi Arabia Wanuia Kuendesha

GV Face

Katika toleo la GV Face wiki hii, tunakutana na mwanablogu wa Jeddah na mwandishi Tamador Alyami anayeunga mkono kampeni ya #WanawakeWataendesha, Hadeel Mohammed, Mwandishi wetu wa Saudia anayeishi Dammam na Mhariri wetu wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Amira Al Hussaini

5 Oktoba 2013