Habari kuhusu Harakati za Mtandaoni kutoka Oktoba, 2013
Jieleze:Siku ya Blogu kwa Haki za Raia!
Octoba 16 ni Siku ya Blogu. Jiunge na wanablogu duniani kote kuzungumzia mada ya mwaka huu: Haki za Binadamu.
Hong Kong: Pinga Biashara ya Pembe za Ndovu
Muungano wa watu binafsi na Asasi Zisizo za Serikali zinazoguswa na tatizo la ujangili wa tembo, Hong Kong kwa Tembo, uliandamana Oktoba 4, wakiitaka Hong...
GV Face: Wanawake Nchi Saudi Arabia Wanuia Kuendesha
Katika toleo la GV Face wiki hii, tunakutana na mwanablogu wa Jeddah na mwandishi Tamador Alyami anayeunga mkono kampeni ya #WanawakeWataendesha, Hadeel Mohammed, Mwandishi wetu...