Habari kuhusu Harakati za Mtandaoni kutoka Aprili, 2017
Mwanablogu na Mwanaharakati wa Maldives Yameen Rasheed Auawa kwa Kuchomwa na Kitu chenye Ncha Kali
"Ile inayoitwa" Paradiso ya duniani haihakikishii raia wake usalama. Kesho inaweza kuwa ni mimi, wewe au yeyote miongoni mwetu," aliandika mtumiaji mmoja wa Facebook.
Wanamazingira wa Siberia Wachoshwa na Mamlaka za Nchini Kwao, Waomba Msaada Kwa Leonardo DiCaprio

In Krasnoyarsk, the third largest city in Siberia, local environmentalists have found their savior: Hollywood star Leonardo DiCaprio.
Wataalam wa Teknolojia Nchini India Wanapambana Kubaini Ujumbe Bandia Unaoenezwa WhatsApp na Facebook

Watumiaji wengi wa mtandao hawafahamu bado namna ya kutofautisha vyanzo halisi vya ujumbe wanaoupokea na vyanzo bandia au hatarishi