Habari kuhusu Harakati za Mtandaoni kutoka Februari, 2015
26 Februari 2015
23 Februari 2015
Mwanamke Atumia Mtandao wa Instagram Kubadili Mtazamo Kuhusu Somalia
Ugaaso Boocow anataka kubadili mtazamo wa watu kuhusu nchi ya Somalia. Lakini badala ya kuingia mitaani au kutumia radio, ameamua kuingia kwenye mtandao wa Instagram...
19 Februari 2015
Twiti kwa #Kilugha Kusherehekea Wingi wa Lugha Mtandaoni

Dunia inazungumza maelfu ya lugha, lakini hutalijua hilo kwa kutazama kwenye mtandao wa twita. Unaweza kusaidia kubadilisha hali hiyo kwa ku-twiti katika lugha yako ya...
8 Februari 2015
Raia wa Masedonia Watumia Sheria ya Uhuru wa Habari Kupinga Sheria Mpya ya Wafanyakazi
Baadhi ya wafanyakazi wasio na mikataba y kudumu pamoja na wale walio na mwajiri zaidi ya mmoja walizuiwa kupokea mishahara yao ya mwezi Januari kwa...
6 Februari 2015
Wafilipino Wauliza ‘Rais Yuko Wapi?’ Baada ya Kutokuonekana Kwenye Mapokezi ya Polisi Waliouawa
Polisi arobaini na wanne walipoteza maisha yao kwenye operesheni maalum ya kumkamata mtu anayedaiwa kuwa mhusika mkuu wa mabomu ya Bali ya mwaka 2002. Rais...
4 Februari 2015
Serikali ya Masedonia Yazuia Kupiga Picha za Maandamano kwa Kutumia Kamera za Anga

Video na picha zilizotengenezwa kwa kutumia kamera inayopaa angani zilikuwa nyenzo muhimu ya kuonesha ukubwa wa maandamano ya wanafunzi, ambayo yameitwa maandamano makubwa ya wanafunzi...