Habari Kuu kuhusu Haki za Binadamu
Habari kuhusu Haki za Binadamu
Mwanamke wa tano auawa nchini Azerbaijan katika kipindi cha siku 10
Mwanawake aliyenyongwa hadi kufa nchini Azerbaijan ni wa tano kuuawa kwa sababu ya mgogoro binafsi na mwuuaji ndani ya siku 10.
TAZAMA/SIKILIZA: “Kwenda zaidi ya Maandamano,” mazungumzo na Tanya Lokot
Ulikosa matangazo mubashara ya Juni 17 kuhusu "Mazungumzo ya Global Voices" yaliyomshirikisha msomi wa masuala ya habari Tanya Lokot kuhusu kitabu chake cha "Beyond the Protest Square"? Tazama hapa video na sauti ya marudio ya matangazo hayo.
Ujerumani yakiri kuhusika na mauaji ya kimbari nchini Namibia enzi za ukoloni, lakini wahanga wasema haitoshi
Miaka zaidi ya 100 baada ya mauaji ya kimbari ya watu wa kabila la Ovaherero na Nama nchini Namibia, Ujerumani inakiri kuhusika kwake na itatoa fedha kufadhili miradi nchini Namibia kwa kipindi cha miaka thelathini.
Rajisi ya Usajili wa Watumiaji wa Simu za Mkononi Nchini Mexico Yazua Hofu Kuhusu Haki ya Faragha
"Uanzishwaji wa rajisi kam hii ulifanyika mwaka 2009, hata hivyo, kanzidata hii iliishia kuvujisha taarifa za watu na baadae kufikia uamuzi wa kuuzwa."
TAZAMA/SIKILIZA: Kupambana na miiko inayozuia utoaji mimba
Ulikosa matangazo mubashara ya kipindi cha Global Voices Insights cha Aprili 7 kuhusiana na masuala ya haki za kutoa mimba katika nchi tano? Tunakirudia hapa.
Baada ya Magufuli, Tanzania itarekebisha sheria kandamizi za maudhui ya mtandaoni?
Kanuni za maudhui ya mtandaoni nchini Tanzania zinatumiwa kuminya na kubana haki za matumizi ya mtandao na uhuru wa kujieleza. Je, kuapishwa kwa Rais mpya kutabadili sheria hizi kandamizi?
Kubadilika kwa Utawala Nchini Tanzania: Kutoka Rais Magufuli mpaka Rais Hassan
Kwa baadhi, Magufuli anakumbukwa kama "Mwana wa Afrika kweli kweli" mpigania haki za wa-Afrika aliyetanguliza maslahi ya Afrika mbele. Wengine wanamkumbuka kama Rais 'mpenda umaarufu" aliyepigania uzalendo — kuliko kingine chochote.
TAZAMA: Mazungumzo na Jillian C. York kuhusu kitabu chake kijacho “Silicon Values”
Ulikosa kipindi mubashara cha Global Voices Insights tulipozungumza na mwandishi na mwanaharakati Jillian C. York? Sikiliza marudio hapa.
Jinsi Mauaji ya Mwanamuziki Hachalu Hundessa Yalivyochochea Uvunjifu wa Amani Huko Ethiopia: Sehemu Ya I
Baada ya mauaji ya Hachalu Hundessa, Ethiopia inapambana kutuluza vurugu zilizotokea baina ya makundi ya kikabila na kidini.
Ukeketaji Waongezeka Mashariki ya Kati Katika Kipindi cha Mlipuko wa Mlipuko wa COVID-19
Janga hili limetibua mikakati ya kuzuia ukeketaji huko Mashariki ya Kati ambapo suala hili linaripotiwa kwa uchache sana.