· Novemba, 2013

Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Novemba, 2013

Huzuni na Hasira Mjini Kidal, Mali

Mwanablogu Wirriyamu anaomboleza kuuawa kwa waandishi wa habari wawili wa ufaransa [fr] mjini Kidal, Mali. Lakini kando na huzuni yake kubwa, Wirriyamu pia anajisikia hasira kwa kuona kaskazini mwa Mali...

13 Novemba 2013

Iran:Raia wa Mtandaoni Wanane Wakamatwa

Mamlaka ya Iran ilitangaza kuwa raia wa mtandaoni wanane ikiwa ni pamoja na mwanamke mmoja walikamatwa katika Rafsanjan, katika Mkoa wa Kerman, kwa madai ya “kutusi utakatifu wa Kiislamu na...

2 Novemba 2013