Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Juni, 2018
Taarifa ya raia mtandaoni: Nani Atafuata? Mgogoro wa Kisiasa Venezuela Unaonesha Wimbi Jipya la Udhibiti, Ukandamizaji wa Vyombo vya Habari

Taarifa ya raia mtandaoni ya Advox inatoa picha ya haraka kimataifa juu ya changamoto, ushindi na mienendo inayoibuka katika haki za kimtandao duniani
Mwandishi wa Habari wa Kashmiri Shujaat Bukhari Auawa kwa Kupigwa Risasi

"Haiwezekani kujua nani ni adui zetu na nani hasa ni marafiki zetu."
Taarifa ya Raia Mtandaoni: Sheria Mpya Cambodia na Tanzania Zimelazimu Vyombo vya Habari vya Kujitegemea Kuwa Kimya au — Kufungwa

Taarifa ya raia mtandaoni ya Advox inaangazia taswira ya haraka kimataifa juu ya changamoto, ushindi na mienendo inayoibuka katika haki za kimtandao duniani.
Kufuatia Shinikizo la Vyombo vya Ulinzi, Fahari ya Beirut kwa Mwaka 2018 “Yaahirishwa kwa Muda”
"Kwa muda mrefu Lebanon imekuwa ikifahamika kwa kuheshimu tofauti miongoni mwa raia wake na imekuwa ikidai kuwa nchi ya raia wake WOTE, pamoja na tofauti zao."
Tovuti huru maarufu nchini Tanzania zafungwa kufuatia ‘kodi ya blogu’

"Hii sio tu ni leseni ya kujidhibiti mwenyewe lakini pia ni namna ya kuwa nyenzo ya serikali kuwafuatilia haki ya kiraia ya wengine (wachangiaji) kujieleza."
Ajentina Yahalalisha Utoaji Mimba
"Kama sheria hiyo haitapitishwa, wale wanaohusiaka na utesaji na mauaji watakuwa watumwa wa wale waliokuwa wanapinga sheria hiyo..."
Ripoti ya Raia Mtandaoni: Sheria ya Uganda ya Kodi ya WhatsApp na Kadi za Simu Itafanya Iwe Vigumu Kuendelea kutumia Mtandao

Taarifa ya Watumiaji wa Mtandao inakuletea muhtasari wa changamoto, mafanikio na mambo yanayojitokeza kuhusiana na haki za Mtandao duniani kote.