Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Mei, 2018
Wanaharakati wa Cuba Waanzisha Ajenda Kuhusu Haki za Mashoga Nchini Cuba
"Nini kinaweza kuchukuliwa kuwa waraka wa kwanza wa aina yake nchini Cuba [...] ikiwa na matakwa 63 na imegawanywa kwenye vipengele viwili: hatua na sera za kibunge na sena, mipango na mikakati."
“Nilitamani Wajukuu wangu Wakulie kwenye Nyumba Ile”:Ushuhuda wa Mwanamke wa Syria mwenye Miaka 61 kutoka Zamalka
Nilitamani wajukuu wangu wakulie kwenye nyumba ile, na hivyo kuweza kuongozea uhai mpya nyumbani pale, kama walivyofanya mabubu zetu wa kila kizazi kilichopita.
Maandamano ya Nicaragua Yachochea Kufungwa kwa Vyombo vya Habari, Shambulizi la DDos na Mauaji ya Mwandishi wa Habari Angel Gahona
Ripoti ya Utetezi wa Raia wa mtandaoni inakuletea mkusanyiko wa changamoto, mafanikio na mwenendo wa matukio yanayojitokeza kuhusiana na haki za matumizi ya mtandao wa intaneti ulimwenguni kote.