Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Juni, 2013
Wanaharakati 36 wa Azeri Wakamatwa nchini Iran
Wanaharakati thelathini na sita wa Azeri akiwamo mwanablogu mmoja, Kiaksar, walikamatwa siku ya Alhamisi, 27 Juni katika eneo la Urmia. Vikosi vya usalama viliwaachilia huru wanaharakati hao 300 baada ya...
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Nchini Saudi Afungwa Miaka Nane Jela
Abdulkareem al-Khadar, mwanafamilia ya kifalme mwanzilishi wa shirika la haki za binadamu, Chama cha ki-Saudi cha Haki za Kiraia na Kisiasa (ACPRA), alihukumiwa kifungo cha miaka nane jela kwa kosa la uchochezi na kuanzisha shirika la haki za binadamu lisilo na leseni pamoja na mashtaka mengine
Raia wa Myanmar Wachukizwa na Mashambulizi Dhidi ya Wahamiaji Wenzao Nchini Malasia.
Vurugu za kikabila nchini Mynmar inaonekana kusambaa hata katika nchi za jirani.. Baadhi ya wahamiaji wa Mynmar wa jamii ya budha wanaoishi nchini Malasia wiki chache zilizopita ambapo watu wengi wanaamini kuwa mashambulia hayo yanahusiana mvutano wa kimakabila na kidini unaoendelea nchini Myanmar. Mwitikio wa awali wa serikali ya Myanmar wa kukanusha matukio haya uliwakasirisha watumiaji wengi wa mtandao.
Maandamano ya Kudai Uhuru Yafanyika Kwenye Miji ya Saudi Arabia.
Makundi madogo madogo ya wanawake wa Saudi Arabia kwa wakati mmoja yaliitisha “mikutano ya kudai uhuru” katika maeneo mbalimbali ya majiji ya Saudi Arabia mnamo tarehe 10 Juni, 2013, maandamano yaliyoratibiwa na kundi lisilojulikana la mawakili @almonaseron [ Waungaji mkono] linaloshinikiza kuachiwa huru kwa ndugu zao wanaoshikil
Kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari wa Kimasedonia Kwachochea Maandamano
Waandishi wa habari wa Kimasedonia walikusanyika [tazama video na soma nakala] mbele ya Mahakama ya Makosa ya Jinai hivi leo katika mji mkuu Skopje kupinga kukamatwa kwa mwenzao, Tomislav Kezarovski, kwa mujibu wa...
Gwaride la Kwanza la Mashoga Nchini Lesotho
Leila Hall anablogu kuhusu gwaride la kwanza la mashoga kuwahi fanyika nchini Lesotho: Tukio hilo limeandaliwa na Kikundi cha Kutoa msaada cha MATRIX- Shirika lisilo la kiserikali la Lesotho- linatetea haki za watu...
Ukatili wa Polisi Nchini Macedonia: Miaka Miwili Baadae
Siku ya Alhamisi, Juni 6, katika kituo cha Skopje, Vuguvugu la Kupinga Ukatili wa Polisi litatimiza miaka miwili baada ya mauaji ya Martin Neshkovski, ambayo yalisababisha maandamano makubwa katika ngazi za...
Vijana wa Kisaudi Wakamatwa Wakituhumiwa ”Kukashifu Dini”
Vijana wawili wa ki-Saudi walikamatwa mjini Riyadh na Kamati ya Kukuza Maadili na Kuzuia Maovu (CPVPV) kwa tuhuma za kukashifu dini. MMoja wao, Bader Al-Rasheed, anasimulia tukio hilo kwa twiti kadhaa.