Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Februari, 2015
Mradi wa Video Waelezea Mapambano ya Kimaisha ya Watu wa Papua ya Magharibi

"Hizi ni habari tofauti na zile za mgogoro uliopo: Harakati za kupata elimu, mazingira, usawa na utu."
Kampeni ya Facebook Yampa Mwandishi wa Iran Masih Alinejad Tuzo ya Haki za Wanawake
Mwandishi wa ki-Iran ameshinda Tuzo ya Haki za wanawake kufuatia harakati zake za kwenye mtandao wa Facebook unaoitwa "My Stealthy Freedom."
Raia wa Jordan Washitushwa na Video ya Mauaji ya ISIS, Wamkumbuka Mwanajeshi Aliyeuawa Kishujaa
Muonekano wa kutisha wa video ya mauji ya Rubani wa Jordan imewashitua wengi, lakini baadhi ya watu hawakukubali kuruhusu propaganda za ISIS za kuharibu kumbukumbu nzuri ya shujaa huyu aliyeuawa.
Serikali ya Masedonia Yazuia Kupiga Picha za Maandamano kwa Kutumia Kamera za Anga

Video na picha zilizotengenezwa kwa kutumia kamera inayopaa angani zilikuwa nyenzo muhimu ya kuonesha ukubwa wa maandamano ya wanafunzi, ambayo yameitwa maandamano makubwa ya wanafunzi kuwahi kutokea nchini Masedonia tangu uhuru.