Habari kuhusu Haki za Mashoga
Jumuiya ya Mashoga Nchini Guyana Yaandaa Maandano ya Kwanza Kujivunia Ushoga
"#Guyana imebaki kuwa nchi ya pekee barani Amerika Kusini ambako ushoga bado ni kinyume cha sheria. Nchini humo, pamefanyika maandamano ya kwanza ya kujivunia ushoga. Huenda hiyo ni hatua ya kuelekea kuuhalalisha ushoga..."
Kufuatia Shinikizo la Vyombo vya Ulinzi, Fahari ya Beirut kwa Mwaka 2018 “Yaahirishwa kwa Muda”
"Kwa muda mrefu Lebanon imekuwa ikifahamika kwa kuheshimu tofauti miongoni mwa raia wake na imekuwa ikidai kuwa nchi ya raia wake WOTE, pamoja na tofauti zao."
Wanaharakati wa Cuba Waanzisha Ajenda Kuhusu Haki za Mashoga Nchini Cuba
"Nini kinaweza kuchukuliwa kuwa waraka wa kwanza wa aina yake nchini Cuba [...] ikiwa na matakwa 63 na imegawanywa kwenye vipengele viwili: hatua na sera za kibunge na sena, mipango na mikakati."
‘Kwa nini Siwezi Kumbusu Mpenzi wangu wa Kike Hadharani?’ Simulizi ya Mwanamke Basha wa Armenia
Mwanamke basha aweka bayana historia ya maisha yake na kueleza harakati zake zenye changamoto lukuki za kuwakomboa wasagaji kutoka kwenye jamii ya mfumo dume isiyoamini uhusiano wa kimapenzi wa watu wa jinsia moja.
Wakati Taiwani Ikifikiria Usawa wa Haki ya Ndoa, Maelfu Wahudhuria Matembezi ya Mashoga
Matembezi ya watu wenye mapenzi ya jinsia moja yamefanikiwa mwaka huu huko Taiwani. Wapenzi wawili mashoga katika hali ya kujawa matumaini walivaa fulana zenye ujumbe kuwa wanajiandaa kuoana
Kuhusu Kuwa Kijana, Mweusi na Mgeni nchini Afrika Kusini
Leila Dee Dougan anaweka video ya muziki inayotoka kwenye toleo la hivi karibuni la msanii wa Afrika Kusini Umlilo: Umlilo (ambaye hapo awali aliandikwa kwenye tovuti ya Africa is a...
Maandamano ya Kudai Haki ya Kubusu na Barua ya Haki za Mashoga Nchini Cuba
Maandamano ya pili ya Kubusiana ili kutetea Tofauti na Usawa yamefanyika Jijini Havana mwaka huu wakati ambao Mashoga kipindi chenye changamoto kwa Mashoga katika kisiwa hicho.
Uchambuzi zaidi Kuhusu Muswada wa Kupinga Ushoga Nchini Uganda
Kristoff Titeca anaangalia mbali zaidi ya sababu moja kuhusiana na muswada wa kupinga ushoga nchini Uganda: Pointi muhimu ni kuwa Rais Museveni hajawahi kuwa shabiki mkubwa wa muswada huu na...