Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia

Kwa nini Kiswahili hakijawa lugha inayounganisha Afrika?

  14 Oktoba 2022

Ushawishi wa kigeni pia huenda ukatatiza “kukubalika” kwa Kiswahili. Afrika kwa sasa inategemea pakubwa China kwa msaada wa kifedha. Na kwa upande wake, China inatumia nafasi hiyo, kupenyeza lugha ya Mandarin katika nchi nyingi za Afrika, ambazo ni pamoja na Kenya.