Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Julai, 2012
Tanzania: Mgomo wa Walimu Watikisa Nchi
Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika zoezi la sensa, walimu nchini Tanzania wako katika mgomo kuishinikiza serikali kuwalipa madai yao pamoja na kuboresha mishahara...
Basi la Watalii Raia wa Israeli Lashambuliwa Nchini Bulgaria
Watu wapatao saba wameuawa katika shambulio la la kijana wa Kiyahudi katika basi la kitalii lililokuwa katika uwanja wa ndege wa Burgus nchini Bulgaria. Ripoti...
Tamko la Uhuru wa Mtandao wa Intaneti
Hivi karibuni, makundi kadhaa yameungana pamoja kutengeneza Tamko la Uhuru wa Mtandaoni. Mpaka sasa, Tamko hilo limesainiwa na mashirika na kampuni zipatazo 1300 na bado...
Ethiopia: Maandamano ya Waislamu Yashika Kasi
Jeshi la Polisi nchini Ethiopia waliamua kutumia nguvu kupambana na wanaharakati wa ki-Islamu, likituhumiwa kufanya vitendo haramu katika maeneo yanayochukuliwa kuwa matakatifu katika misikiti, kwa...
Paraguai: Kutoka Kutumikishwa Hadi Kuwa Kiongozi Mzawa.
Kutana na Margarita Mbywangi, ambaye katika umri wa miaka mitano, alichukuliwa kutoka kwa wazazi wake na kuuzwa mara kadhaa na kulazimishwa kufanya kazi za nyumbani....
Afghanistan: Mwanafunzi wa Sekondari Agundua Kanuni ya Hisabati
Mwanafunzi wa Sekondari nchini Afghanistan amegundua kanuni ya kimahesabu inayoweza kutumika kukokotoa milinganyo ya kwadratiki. Watumiaji wa twita wamezipokea habari hizo kama ishara ya maendeleo...
Matangazo ya Mkutano wa Sauti za Dunia (Sehemu ya 1)
Sauti za waliowakilisha GV katika warsha mjini Nairobi, Kenya.