Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Novemba, 2014
Shiriki Zoezi la Kujifunza Lugha za Asili Mtandaoni
Badala ya zoezi la kuweka mabonge ya barafu vichwani mwao, watetezi hawa wa lugha wamekubali kushiriki zoezi la lugha za asili kwa njia ya video
Waandamanaji Wavamia Ukumbi wa Sinema na Kusema ‘Hunger Games’ Inaendelea Nchini Thailand
Wanafunzi wa ki-Thai jijini London waliandamana nje ya ukumbi uliokuwa unaonesha filamu maarufu ya "The Hunger Games," wakitaka masuala yanayotishia demokrasi nchini mwao yamwulikwe.
Shindano la Insha GV: Namna Gani Sera za Intaneti Zinaathiri Jamii Yako?
Mradi wa Global Voices Advox unakaribisha wanajumuiya na washirika wengine kutuma insha zinazoeleza madhara ya sera za Intaneti katika jamii za mahali mbalimbali duniani.