Habari kuhusu GV Utetezi
Nanjala Nyabola ajiunga na Global Voices kuwa Mkurugenzi wa Advox
Kama mkurugenzi wa mradi wa utetezi (Advox), Nanjala ataongoza uhariri wa uandishi wa habari za Global Voices, utafiti, uanaharakati na utetezi wa uhuru wa kujieleza na haki za kidijitali na teknolojia.