Habari kuhusu GV Utetezi kutoka Novemba, 2016
Serikali ya Ethiopia Yamshikilia Mwanablogu wa Zone9 Befeqadu Hailu kwa Kigezo cha ‘Hali ya Hatari’
Hailu alitarifiwa kuwa kukamatwa kwake kulisababishwa na mahojiano aliyoyafanya na Idhaa ya Amerika katika lugha ya Kiamfariki kuhusu hali ya hatari iliyotangazwa nchini Ethiopia.
Morocco Yaondoa Vikwazo Dhidi ya Vitumizi vya VoIP Kuelekea Kongamano la Tabia Nchi la Umoja wa Mataifa.
"Ili kukwepa kuonekana kama ni nchi ya mabavu wakati wa kongamano la tabia nchi #COP22, nchi ya Morocco imerejesha kwa muda huduma za VoIP," alitwiti mtuaji mmoja wa mtandao wa intaneti.