Habari kuhusu GV Utetezi kutoka Juni, 2015
Abel Wabela: “Kupambana na Hali ya Kutokuchukua Hatua na Kutojali…Hii Ndio Nia Yangu Kama Mwanadamu”
"Maangalizo, vitisho, kukamatwa na mateso hakujanifanya kuacha kutumia haki zangu za msingi za kujieleza," anasema Abel Wabela, mmoja wa wanablogu wa Zone9 wa nchini Ethiopia ambao walifungwa gerezani tangu Aprili 2014.
“Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza
Kosa la wanablogu wa Zone9' ati lilikuwa ni kuthubutu kuonesha dhamira yao ya kuupigania "Ubuntu". Waliihamasisha jamii yao kuachana na dhana ya ubinafsi
Alama ya #AchaHofu Yatumika Kufuatilia Uchaguzi wa Mexico
Wakati wa uchaguzi wa Jumapili iliyopita nchini Mexico, taasisi ya kulinda uhuru wa kujieleza, ARTICLE 19 iliendesha kampeni ya #RompeElMiedo (#AchaHofu) kwa lengo la kufuatilia usalama wa waandishi wa habari
Msemo Wa Blogu ya Zelalem Kiberet: ‘Uache Uhuru Uvume’
Kutokana na upeo wake mkubwa, uandishhi wake wa busara na uchambuzi usiotetereka wa masuala ya dini, marafiki zake walimpatia Zelalem jina la utani la Zola lililotokana na mwandishi maarufu wa Kifaransa, Zola.