Habari Kuu kuhusu Asia
Habari kuhusu Asia
Mwanamke wa tano auawa nchini Azerbaijan katika kipindi cha siku 10
Mwanawake aliyenyongwa hadi kufa nchini Azerbaijan ni wa tano kuuawa kwa sababu ya mgogoro binafsi na mwuuaji ndani ya siku 10.
Rais Wa Umoja Wa Wanafunzi Wa Thailand Akamatwa Kwa Kushiriki Maandamano Ya Kuipinga Serikali
“Rangi inaweza kusafishwa, lakini hauwezi kusafisha uonevu.”
‘Hakuna kupiga Kura Mpaka Barabara Ijengwe': Sababu ya Wanakijiji cha Goa Kususia Uchaguzi Mkuu wa India
Barabara mbaya, ukosefu wa huduma za maji na umeme ziliwasukuma Wagoha hawa kugomea uchaguzi unaoendelea huko Lok Sabha katika kijiji cha Marlem.
Mshindani wa Msumbiji Ashinda Mashindano ya Kimataifa ya Kutunisha Misuli nchini Hong Kong
Saraiva ni mtu mashuhuri kwa kutunisha misuli nchini Msumbiji.
Wanawake wa Afghanistan Watuma Ujumbe kwa Serikali na Taliban: Tunataka Tujumuishwe
"Amani haimaanishi mwisho wa vita. Hakuna nchi inaweza kufanikiwa mipango yake ya kitaifa bila ushiriki wa wanawake."
Mwanaharakati Raia wa Singapore Ahukumiwa Kifungo cha Siku 16 Jela kwa Kuzungumza na Joshua Wong Kiongozi wa Vijana wa HK
"Hakuna hukumu ambayo ningeweza kuichukulia kama ya haki, kwa sababu hakukuwa na kufunguliwa mashtaka kabisa."
Serikali ya Samoa Yamkamata Bloga Maarufu ‘Mfaume Faipopo’ kwa Tuhuma za Kumkashifu Waziri Mkuu
"Sheria mpya, ambayo imetokana na sheria ya zamani ya maandishi ya kukashfu, tangu ukoloni, imewasukuma viongozi wa Samoa kugeuka na kuangalia nyuma badala ya kuangalia mbele."
Australia Waikumbuka Jumamosi Nyeusi kwa Kuadhimisha Miaka 10 ya Janga la Moto wa Nyika
"Miaka kumi kamili, na bado sidhani kama kuna siku imepita bila kuitaja – au hata kufikiria – tukio la moto"
Kwa Nini Raia Mtandaoni Nchini China Wanaamini Kiwango cha Mauzo ya Bidhaa Kinaweza Kutabiri Mambo ya Duniani
Kutokana na historia, kiwango cha mauzo ya bidhaa ya Yiwu kilitabiri matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Marekani mwaka 2016 na kinatarajia kufanya hivyo kwa waandamanaji wa Ulaya waliovalia "fulana za njano" .
Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii Wapinga Udhalilishaji Nchini Pakistani -Lakini Je Taasisi za Serikali Zitatimiza Wajibu Wake?
Kukamatwa kwa Aimal Khan kufuatia kilio kilichoanzia kwenye mitandao ya kijamii ni dalili nzuri. Lakini je, haki itatendeka?