Habari kuhusu Thailand
Mamlaka ya Habari ya Thailand Yaufungia Mtandao wa TV Uliomwita Kiongozi wa Junta Dikteta
"Amri hiyo inakiadhibu kituo chote ikiwa ni pamoja na vipindi vyote bila kujali maudhui yake, na watu wote bila kujali majukumu yao."
Mwandishi wa Habari wa Thailand na Wakosoaji Dhidi ya Serikali ya Kijeshi Wakabiliwa na Makosa ya Uchochezi Kupitia Facebook

"Nitaendelea kuikosoa serikali batili ya kijeshi hadi watakaponinyang'anya simu janja yangu."
Jeshi la Nchini Thailand Lawaruhusu Watoto Kucheza na Bunduki halisi, Vifaru na Helikopta za Kijeshi
"Tunawawezesha watoto walifahamu vyema jeshi pamoja na zana zinazotumiwa. Kwa uzoefu wanaoupata, wanajifunza kulipenda jeshi na hata kuwa wanajeshi hapo baadae."
Bunge Lililoteuliwa na Jeshi la Thailand Lapiga Kura ya Kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu
Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Yingluck Shinawatra amepigiwa kura ya kutokuwa imani naye kwa 'kosa' la kutekeleza mpango wa kununua mchele unaokosolewa kwa kuliletea hasara na matatizo taifa hilo
Salamu ya ‘vidole vitatu’ Yaleta Matumaini kwa Wanaharakati wa Demokrasia Nchini Thailand
Wahudhuriaji wa mazishi ya afisa wa zamani wa serikali walionesha ishara ya vidole vitatu ambayo inatumiwa na wanaharakati wanaopigania demokrasia nchini Thailand.
Udhalilishaji wa Kijinsia wa Watoto Wanaotalii Asia ya Mashariki
Mradi wa Nguzo ya Kuokoa Utoto, uliobuniwa na serikali ya Australia, umezinduautafitiukosefu wa msaada wa kijamii, elimu, furasa na ulinzi” kwa kuendelea kwa vitendo vya kuwadhalilisha watoto. Utafiti huo pia...
Wakati Mgogoro wa Kisiasa Ukikolea: Thailand Kufanya Uchaguzi Mwingine Mwezi Julai
Kwa sababu ya kushindwa kwa uchaguzi wa mwezi Februari kutatua mgogoro wa kisiasa nchini Thailand, uchaguzi mwingine umepangwa kufanyika Julai 20. Lakini je, upinzani utasusia kwa mara nyingine?
Shirika la UNICEF Latoa Wito wa Kutokuweko kwa Watoto Katika Maandamano Nchini Thailand
Baada ya mlipuko wa bomu la kurushwa kwa mkono nakuwauwa watoto watatu katika maandamano ya kupambana na serikali katika eneo la Bangkok, Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa...
Sababu za Ajali Barabarani Mjini Bangkok
Cha kushangaza, polisi mjini Bangkok, Thailand wanadai kwamba asilimia 30 ya ajali za barabarani husababishwa na ‘magari yasiyostahili kuwa barabarani’ wakati yanayo endeshwa kasi ni asilimia 5 ya ajali. Mwandishi...