Habari kuhusu Michezo
Upungufu wa Maeneo ya Wazi Wawalazimisha Watoto wa Mumbai Kucheza Katika Maeneo Machafu
“Hatuwaambii wazazi wetu kuwa tunacheza hapa. Wanafikiri tunaenda kwenye viwanja vizuri kucheza. Kama wakijua...hawataturuhusu kutoka tukacheze."
Vijana Wanaojifunza Mchezo wa Kuteleza Afrika Kusini Wafanya kama Filamu ya ‘Valley of a Thousand Hills’
Mchezo wa kuteleza hauna umaarufu sana nchini Afrika Kusini, hasa katika jamii za weusi. Kijana mmoja wa ki-Zulu anasema, "Tunajifunza kuteleza ili tuishi maisha mazuri...
Afrika Kusini Yakumbuka Mashindano ya Kombe la Dunia 2010 Yalivyokuwa
Mnamo Juni 11, 2010, Afrika Kusini ilikuwa mwenyeji wa mashindano makubwa ya michezo duniani. Ni mara ya kwanza kwa mashindano hayo kufanyika barani Afrika.
Ajentina Yaichapa Uholanzi, Kukutana na Ujerumani Kwenye Fainali za Kombe la Dunia
Ajentina ilitinga katika fainali za kombe la Dunia kwa mara ya mwisho mwaka 1990 na ikapoteza kwa Ujerumani Magharibi, na hiyo inaufanya mchezo wa Jumapili...
Ajentina Yafurahia Mpinzani Wake wa Jadi Brazil Kuchapwa Vibaya na Ujerumani
Bendi ya Jeshi Alto Peru Mounted Fanfare Band ilipiga wimbo wakati wa gwaride la Siku ya Uhuru kwa kuchanganya na mashairi yenye vijembe kwa watani...