Habari Kuu kuhusu Mahusiano ya Kimataifa
Habari kuhusu Mahusiano ya Kimataifa
Ujerumani yakiri kuhusika na mauaji ya kimbari nchini Namibia enzi za ukoloni, lakini wahanga wasema haitoshi
Miaka zaidi ya 100 baada ya mauaji ya kimbari ya watu wa kabila la Ovaherero na Nama nchini Namibia, Ujerumani inakiri kuhusika kwake na itatoa fedha kufadhili miradi nchini Namibia kwa kipindi cha miaka thelathini.
Papa Francis Ataitembelea Makedonia Kaskazini Mwezi Mei, Muda Mfupi Baada ya Uchaguzi wa Rais
Mara ya kwanza kwa Papa Francis kutembelea Macedonia Kaskazini
Kwa nini Cuba Iliamua Kuwaondoa Madaktari Wao 8,000 Kutoka Nchini Brazili
Havana ilitangaza kusitisha makubaliano yake na Brazil kufuatilia kauli ya rais mteule Jair Bolsonaro kuhusu mradi ambao unadaiwa "kuwa hatari na unapungua thamani yake".
Wakombozi wa Kizungu, Shule za ki-Liberia
Kwa baadhi ya nchi za Kiafrika, dhana ya kubinafsisha mfumo wa elimu kwa Asasi za Kiraia zenye fedha haikwepeki. Lakini wanaoathiriwa na matokeo ya ubinafsishaji huo ni wanyonge.
Kutoka Mavumbini mpaka Ushujaa
Ambapo mhamiaji asiyeandikishwa kutoka Mali anakwea ghorofa na—ghafla—anakuwa shujaa.
Sabika Sheikh, Mwanafunzi wa Pakistan Aliyetaka Kuunganisha Nchi Mbili Auawa kwa Kupigwa Risasi
"...alisema...' Ninataka kujifunza utamaduni wa ki-Marekani na ninataka Marekani kujifuzna utamaduni wa Pakistan na ninataka tuje pamoja na tuungane," mama yake wa kufikia anakumbuka.
Kwa Kumbukumbu ya Aleppo
"Tuko salama, tunaendeleza mwendo, na ndoto lazima itimie."
Mizaha Inavyotumika Kuelewa Mapambano ya Puerto Rico na Washington
Mtandao wa Juice Media umehoji: Je, uko tayari kwa ukweli wa kiasi hiki?
Jukwaa Hili Limewasaidia Maelfu ya Wahamiaji Kukutana Tena na Familia Zao Nyumbani
Duniani kote, takribani watu miliaoni 65 ambao, kwa sababu moja au nyingine, wamelazimishwa kuyakimbia makazi yao. Jukwaa hili linalenga kukutanisha familia zilizovunjika.
Salamu ya Siku ya Wajinga Kutoka Ubalozi wa Urusi
Tarehe 1 Aprili ni siku ya wajinga Duniani. Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imekuja na mzaha wake.