Habari kuhusu Afrika Kusini
#MatrikiUtambulisho: Mazungumzo ya Twita yanayoangazia utambulisho na haki za kidijitali barani Africa

Wanaharakati kutoka Burkina Faso, Nijeria, Afrika Kusini na Kenya, wataongoza mazungumzo kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia lugha zao za asili kuhusu masuala ya lugha, makabila na haki za kidijitali barani Afrika.
Msichana wa Afrika Kusini Anayeishi na VVU Aamua Kutokuficha Hali Yake
Watumiaji wa mtandao wa Twita duniani kote wanamsifia Saidy Brown, msichana wa miaka 22 wa Afrika Kusini, aliyetumia mtandao wa Twita mwezi uliopita kutangaza kuwa ameathirika na VVU.
Waafrika Kusini Wanasimuliana Mambo ya Kuchekesha Waliyoyaamini Utotoni
"Kama mtu akikuruka kwa mguu juu yako, hutarefuka mpaka aondoe mruko wake"
Kutana na Nabii Nchini Afrika Kusini Anayetumia Sumu ya Wadudu Kuponya
"Doom ndio jibu mabibi na mabwana hebu tuinamishe vichwa na tuombe."
Vijana Wanaojifunza Mchezo wa Kuteleza Afrika Kusini Wafanya kama Filamu ya ‘Valley of a Thousand Hills’
Mchezo wa kuteleza hauna umaarufu sana nchini Afrika Kusini, hasa katika jamii za weusi. Kijana mmoja wa ki-Zulu anasema, "Tunajifunza kuteleza ili tuishi maisha mazuri yenye furaha"
Mbeki Rais wa Mstaafu wa Afrika Kusini Bado Anaamini ‘Mambo ya Ajabu’ Kuhusu UKIMWI/VVU
Mbeki amekosolewa kwa kuandika barua inayokanusha kwamba hajawahi kusema kuwa 'VVU havisababishi UKIMWI'. "Nilichosema ni kwamba 'virusi hivyo havisababishi upungufu wa kinga'."
Afrika Kusini Yakumbuka Mashindano ya Kombe la Dunia 2010 Yalivyokuwa
Mnamo Juni 11, 2010, Afrika Kusini ilikuwa mwenyeji wa mashindano makubwa ya michezo duniani. Ni mara ya kwanza kwa mashindano hayo kufanyika barani Afrika.
Kuhusu Uamuzi wa Mahakama wa Haki ya Kusaidiwa Kufa Nchini Afrika Kusini
Profesa Pierre de Vos anaingia rasmi kwenye mjadala mkali kuhusu uwezekano wa kumsaidia mtu kufa nchini Afrika Kusini baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuamua kwamba mtu anayekufa ana haki...