Habari Kuu kuhusu Sudani
Habari kuhusu Sudani
Makubaliano Ya Amani Ya Kihistoria Nchini Sudani Yafanyika Kukiwa na Mafuriko Ya Kihistoria
Makubaliano ya amani ya Kihistoria ya vikundi vya waasi Sudani yamefanyika kukiwa na mafuriko ya Kihistoria yaliyosababisha majanga. Nini hasa mkakati wa serikali kuyarahisisha maisha?
2015 Mwaka wa Kufanyika Chaguzi Huru na Haki Barani Afrika
Wekesa Sylvanus anataraji kwamba 2015 utakuwa mwaka wa chaguzi huru na haki barani Afrika: https://wekesasylvanus.wordpress.com/2015/02/18/will-2015-be-a-year-of-free-and-fair-elections-in-africa/ Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi barani Afrika, ushindani nyakati za uchaguzi umekuwa suala la kufa na kupona kwenye nchi nyingi za ki-Afrika. Chaguzi barani Afrika ni suala lenye hatari zake na...
Sudani: Maandamano Yachochea Kukamatwa kwa Mwanaharakati wa Twita
Maandamano makubwa yaliyofanyika nchini Sudani siku ya Ijumaa yalisababisha kukamatwa kwa wanaharakati wengi wa nchi hiyo, pamoja na watumiaji maarufu wa mtandao wa twita.
Sudani: Kuondoa kizuizi cha Mapinduzi ya Sudani
Tofauti na nchi nyingine katika eneo lake, Sudani mara nyingi huwa haipati nafasi katika vyombo vikuu vya habari, na hili lilikuwa wazi zaidi wakati wa maandamano yalifanyika Ijumaa na Jumamosi. Sababu ni kwamba serikali ya Sudani imevibana mno vyombo vya ndani vya habari na kuwazuia waandishi kuripoti habari zinazohusu masuala ya haki za binadamu na ufisadi.
Sudani: “Polisi Yakanusha Kutumia Risasi; Majeruhi wote ni Wakufikirika
Maafisa wa serikali ya sudani wanarudia ‘uongo’ uliozoeleka ambao watawala wa ki-Arabu wamekuwa wakitumia tangu kuanza kwa yale yanayoitwa Mapinduzi ya Uarabuni yaliyoanza mwezi Desemba 2010. Imekuwa kawaida kusikia kauli kama, ‘waandamanaji wamedhibitiwa wakati wakiwashambulia polisi, ambao nao walijihami kwa kushambulia' Watumiaji wa mtandao wanaonyesha picha tofauti wakati tetesi zinadai mtandao wa intaneti utakatwa kufuatia kuongezeka kwa maandamano.
Sudani: Watumia Mtandao Wathibitisha Tetesi za Kukatwa kwa Intaneti
Raia wa kwenye mtandao wanaifuatilia kwa karibu Sudani, kufuatia tetesi kuwa serikali ya Sudani inadhamiria kuukata mtandao wa intaneti - hatua inayokumbushia jaribio la Misri kuwanyamazisha wanaharakati na kuthibiti mapinduzi ya Januari 25 pale ilipoondoa uwezekano wa watu kuwasiliana kwa mtandao wa intanenti mnamo Januari 27.
Dunia ya Uarabu: “Acheni Kulia Juu Sudani”
Kura ya maoni kwa ajili ya uhuru wa Sudani ya Kusini leo imeiweka nchi hiyo kwenye uangalizi wa karibu miongoni mwa watumiaji wa twita wa Kiarabu. Kuanzia Saudi Arabia mpaka Palestina, watumiaji Twita wa Kiarabu wanajadiliana kuhusu mshikamano, kugawanyika na rasili mali za Sudani.
Sudani: Kura ya Maamuzi ya Uhuru wa Sudani Kusini kwenye Twita
Wapiga kura huko Sudani Kusini walipiga kura ili kuamua ama kujitenga au kubaki kuwa sehemu ya Sudani. Huu ni mkusanyo wa twita zinazohusiana na Kura ya Maoni. Unaweza kufuatilia twita moja kwa moja kwa kutumia alama ya #SudanRef.
Sudan: Muda mfupi Kuelekea Kwenye Kura ya Maamuzi ya Sudani ya Kusini
Sudani ya Kusini itaendesha kura ya maoni ili kuamua ikiwa iendelee kubaki kuwa sehemu ya Sudani ama la ifikapo tarehe 9 Januari 2011. Kuna uwezekano ni mkubwa kuwa nchi hiyo kubwa zaidi katika bara la Afrika itagawanyika kuwa nchi mbili zinazojitegemea. Hapa ni maoni ya hivi karibuni zaidi kwenye makala za blogu kuhusu kura hiyo ya maoni. Southern Sudan will hold a referendum on whether or not it should remain as a part of Sudan on 9 January 2011. It is most likely that Africa's largest country will split into two. Here's our latest roundup of blog posts about the referendum. Southern Sudan will hold a referendum on whether or not it should remain as a part of Sudan on 9 January 2011. It is most likely that Africa's largest country will split into two. Here's our latest roundup of blog posts about the referendum.
Sudani: Je, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Itafanya Kazi?
Jarida la The Financial Times liliripoti hivi karibuni kuwa mpango wa mamilioni ya dola wa Benki ya Dunia wa kusambaza kompyuta na upatikanaji wa Intaneti huko Juba, mji mkuu wa Sudani ya Kusini, umeshindwa. habari hizi zinazua swali: kelele zinazoambatana na teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) zina uhalali?