Habari Kuu kuhusu Ethiopia
Habari kuhusu Ethiopia
Jinsi Mauaji ya mwanamuziki Hachalu Hundessa yalivyochochea uvunjifu wa amani nchini Ethiopia: Sehemu Ya ll
Saa moja baada ya mauaji ya Hachalu Hundessa, wananchi wa mitandaoni waonesha picha, nadharia, lugha za chuki na kampeni zaa uongo — Facebook, Twitter na YouTube.
Kipi Kinajiri Maekelawi? Simulizi ya Ukatili wa Kituo cha Kushikilia Watuhumiwa cha Ethiopia Kinachotarajiwa Kufungwa
"Imefahamika kwamba hofu ya wafungwa nchini Ethiopia, kitu ambacho kilishakaribia kufutika kwenye kumbukumbu za watu, kumbe ni nkumbukumbu iliyokaribu kabisa"
Kilicho cha Zamani ni Kipya: Unasikiliza? Matangazo ya Sauti
Katika matangazo haya ya sauti, tunakupeleka hadi Jamaica, Indonesia, Syria, Macedonia na Ethiopia kwa simulizi za kumbukumbu, ufufuaji na uzima mpya
Serikali ya Ethiopia Yamshikilia Mwanablogu wa Zone9 Befeqadu Hailu kwa Kigezo cha ‘Hali ya Hatari’
Hailu alitarifiwa kuwa kukamatwa kwake kulisababishwa na mahojiano aliyoyafanya na Idhaa ya Amerika katika lugha ya Kiamfariki kuhusu hali ya hatari iliyotangazwa nchini Ethiopia.
Serikali ya Ethiopia Yazima Intaneti ya Simu za Mkononi na Mitandao ya Kijamii
Wale wanaoufuatilia mwenendo wa mambo wanahofia kuwa hatua hii inaweza kuwa dalili ya mwanzo wa hatari kwa maandamano hayo yaliyoendelea kwa miezi 12.
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Hatutaki Mazoea
Wiki tunakusimulia visa vya maandamano, majanga na ubaguzi vinavyofanyika Ethiopia, Egypt, Pakistan, Trinidad na Australia.
Serikali ya Ethiopia Yaua Waandamanaji Wapatao 100 Mwishoni mwa Juma Lililopita
Wakati mamia ya wandamanaji wameingia mitaani mwisho wa wiki hii kwenye majimbo ya Oromia na Amhara, vikosi vya usalama vimetumia nguvu kubwa kuwatawanya waandamanaji kwa risasi za moto. Kuna taarifa kwamba waandamanaji wapato 100 wameuawa.
Wanablogu wa Zone9 Wasema, ‘Kushikiliwa kwetu Kumefunua Yaliyojificha Nchi Ethiopia’
"Kwa wale waliotufunga gerezani na ambao walitusababishia madhila haya, hata kama hautuombi msamaha, sisi hatuna kinyongo."
Filamu ya Difret Inayosimulia Mila ya ‘Kumteka’ Mwanamke Kulazimisha Ndoa Nchini Ethiopia
Neno "Difret" lina maana ya "ujasiri" katika lugha ya ki-Amariki. Ni filamu mpya yenye jina hilo ikisimulia mkasa wa msichana wa ki-Ethiopia aliyetekwa na wanaume waliotaka kulazimisha ndoa ya 'kimila'.
Ni Zaidi ya Wanablogu wa Zone9: Wa-Ethiopia Wengine Watumiao Intaneti Wakabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi
Sambamba na kesi maarufu sasa ya wablogu wa Zone9, kuna wanablogu, wanaharakati wa mtandaoni na wanasiasa wengine wengi wa ki-Ethiopia waliowekwa ndani ingawa majina yao bado hayajatajwa. Mwaka uliopita mnamo Julai 8, 2014, Serikali ya Ethiopia iliwakamata viongozi kadhaa wa upinzani, wanablogu, wanaharakati wa mtandaoni na raia kadhaa wanaoguswa na mwenendo...