Habari kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Je, Felix Tshisekedi Atamaliza Machafuko Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo?
President Felix Tshisekedi alisema kwamba hatua ya mahakama kuthibitisha ushindi wake ilikuwa ni ushindi kwa nchi yote na aliahidi kujenga taifa la umoja, amani na...
Wakimbizi Nchini Marekani Wadumisha Tamaduni za Kimuziki kwa Nyimbo za Watoto
Msimuliaji wa hadidhi kwenye Kituo cha Makumbusho ya Sanaa cha Erie Art Museumkilicho kwenye jimbo la Pennsylvania, nchini Marekani alikuja na wazo: kuwasaidia wakimbizi kujifunza...
Mfalme wa Rumba lenye Mahadhi ya ki-Kongo Afariki Dunia. Tunamkumbuka kwa Hili
Tumempoteza Papa Wemba, mwanzilishi wa rumba lenye mahadhi ya Kikongo na "mfalme wa Sape". "Kwaheri na asante sana kwa msanii huyu," tunasema sisi wa Global...
Watu 36 Wauawa, Mtandao wa Intaneti Wafungwa Kongo DRC Kufuatia Maandamano ya Kumpinga Rais Kabila
Ghasia na mapigano kati ya Polisi na waandamanaji wanaopinga hatua ya Kabila kurekebisha sheria ya uchaguzi vimesababisha kuuawa kwa watu 36 nchini Kongo DRC katika...
Mabadiliko ya Mfumo wa Ustawi wa Jamii ya Kiafrika
Utekelezaji wa mifumo ya hifadhi ya jamii ya taifa bado uko katika hatua za mabadiliko katika nchi nyingi za Afrika. Mafanikio ya mifumo iliyopo yanajadiliwa...
Congo (DRC): Video zasaidia kumtia hatiani Thomas Lubanga kwa uhalifu wa kivita
Mnamo tarehe 14, Machi, mahakama ya kimataifa ya makosa ya kivita ilimtia hatiani Thomas Lubanga, kiongozi wa zamani wa waasi Kongo (DRC) Mashariki, kwa kosa...