Habari kuhusu Ufaransa
Wanaharakati Nchini Colombia Wawasilisha Barua Kuhusu Mauaji ya Viongozi wa Kijamii Huko ICC
Zaidi ya viongozi 163 wa kijamii na wanaharakati wameuawa kwa zaidi ya miaka mitatu iliyopita nchini Colombia.
‘Watu Wanapanda Boti hizo kwa Kuwa Bado Wanahitaji Kuishi’
Kampeni ya uokozi Sos Méditerranée yachapisha kwenye blogu yao maelezo ya watu walioponea chupuchupu wakielekea Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean
Mitaa ya Paris Inavyonikumbusha Mitaa ya Beirut

"Hatujapata kitufe cha 'salama' kwenye mtandao wa Facebook. Hatujapata salamu za pole usiku wa manane kutoka kwa watu maarufu zaidi duniani pamoja na mamilioni ya watumiaji wa mtandao..."
Muziki Wamsaidia Mwanamke wa Ki-Hindi Kujikwamua Kiuchumi
Tritha Sinah anaongoza bendi iitwayo Tritha Electric. Amekulia Kolkata na anasema muziki umekuwa njia ya kujipatia uhuru wa kifedha.
Raia wa Ufaransa Wastukia Hatari ya Muswada wa Udukuzi

Watetezi wa haki za kiraia wanasema muswada unaokaribia kuwa sheria unaweza kuipa nguvu Ufaransa katika udukuzi wa kimataifa wa mawasiliano ya intaneti.
Kufuatia Shambulizi la Garissa, Jamii ya Wazungumzaji wa Kifaransa Waungana na Wakenya
147 people were killed by gunmen on the campus of Garissa University in Kenya. The world and specifically the french speaking world after Charlie Hebdo, shows support to the victims
Shambulio la Kigaidi Laua Watu Watano Mjini Bamako
Shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini Bamako, makao makuu ya Mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya Ijumaa mnamo Machi, 6. Shambulio hilo lilifanyika usiku wa...
Picha za Mabaki ya Ndege ya Shirika la Algeria AH5017 Nchini Mali Yaonyesha Ghasia, Kuanguka kwa Ghafla
VERY FIRST images of #AH5017 #AirAlgerie trickling out, via @AirLiveNet http://t.co/4pKox7rgjn pic.twitter.com/rngGTv7Rbs — Jason Morrell (@CNNJason) July 25, 2014 PICHA ZA KWANZA za ndege ya AH5017 ya Shirika la Ndege...
Hivi Ndivyo Waandishi wa Kifaransa wa Global Voices Wajivyojipanga Kusoma Kiangazi Hiki
Je, unahitaji kitabu cha kujisomea? Hapa kuna orodha ya kusoma iliyopendekezwa na waandishi wa Kifaransa kwa familia ya GV.
Ousmane Sow : Mwafrika Mweusi wa Kwanza Kushiriki katika Taasisi ya Kifaransa ya Sanaa
Mchonga sanamu Msenegali, Ousmane Sow, alikaribishwa kwenye Académie des Beaux-Arts de Paris [Taasisi ya Sanaa ya Paris] tarehe 11, mwezi wa Disemba. Africa-top-talents.com inaripoti kwamba: Une belle consécration pour ce sculpteur sénégalais connu pour ses séries...