Habari kuhusu Afya
Kwa nini Cuba Iliamua Kuwaondoa Madaktari Wao 8,000 Kutoka Nchini Brazili
Havana ilitangaza kusitisha makubaliano yake na Brazil kufuatilia kauli ya rais mteule Jair Bolsonaro kuhusu mradi ambao unadaiwa "kuwa hatari na unapungua thamani yake".
Vita,Usimamizi Hafifu Wa Vyanzo Vya Maji na Mabadiliko Ya Tabia Ya Nchi Vyapelekea Uhaba Mkubwa Wa Maji.
"Ninailaumu serikali kwa kutokuangalia na kushughulikia tanga la maji. Hakuna anayejali watu."
Utafiti wa Kwanza wa Kina Kuhusu Unyanyasaji wa Watoto Nchini Madagaska Unaonesha Hali Inatisha
Ripoti inasema asilimia 89 ya watoto wanadai kuathiriwa na unyanyasaji majumbani angalau mara moja wakati asilimia 30 ya vijana kinda wa kike katika Kisiwa cha Madagaska tayari wana mtoto.
Baada ya Tishio la Ebola Kuondoka, Marekani Yalitaka Kundi La Wahamiaji Kutoka Afrika Magharibi Kurejea Makwao
Waliingia Marekani kwa mujibu wa sheria kama watu waliotoka kwenye nchi zenye migogoro. Sasa, mgogoro umekweisha, lakini imekuwa vigumu kwao kurudi nyumbani.
Unamjua Muuaji Mkuu Nchini Georgia? Ni Barabara Zake
Mnamo Machi 22 huko Tbilisi, mama mmoja pamoja na mtoto wake wa kike waliokuwa wamesimama kando ya barabara waligongwa na gari. Msichana huyo wa miaka 11 alipoteza maisha papo hapo.
Maisha Ndani ya Kituo cha Kulelea Watu Wenye Ukoma Nchini Myanmar
Pyay Kyaw anawatembelea wagonjwa kwenye kituo cha kulelea watu wenye ukoma cha Mt. Yosefu Cotto Legnos, kinachowatunza watu wengi, mmoja wao Maya, ambaye aliwahi kulazimishwa kwenda kuishi kwenye makaburini kwa sababu ya unyanyapaa.
Msichana wa Afrika Kusini Anayeishi na VVU Aamua Kutokuficha Hali Yake
Watumiaji wa mtandao wa Twita duniani kote wanamsifia Saidy Brown, msichana wa miaka 22 wa Afrika Kusini, aliyetumia mtandao wa Twita mwezi uliopita kutangaza kuwa ameathirika na VVU.