Habari kuhusu Afya kutoka Machi, 2014
Mlipuko wa Homa ya Ebola Waua Watu 59 Nchini Guinea
Mlipuko wa homa ya Ebola umeua watu wasiopungua 59 nchini Guinea na matukio kadhaa yanayohofiwa kuwa ya homa hiyo yamekaribia kwenye mjini mkuu Conakry hiyo ikimaanisha kuwa ugonjwa huo unaweza kuenea kwenye mji mkuu wa Guinea. Barbara Krief anatoa taarifa za hivi karibuni [fr]: Au moins huit agents de santé...
VIDEO: “Nyumba ya Kusubiri” kwa Wajawazito Nchini Peru
In rural Peru, women are encouraged to spend their last weeks of pregnancy in special residential facilities that offer comfort and care. But the waiting is difficult.