· Machi, 2012

Habari kuhusu Afya kutoka Machi, 2012

Amerika Kusini: Waathirika wa ‘biashara’ ya kukuza matiti waingia mtandaoni

  24 Machi 2012

Wanawake wengi wameungana kwenye tovuti za kijamii kusema wanachofikiri na kubadilishana taarifa kuhusu matatizo yanayosababishwa na viini vya kukuzia matiti. Wakati huohuo wanapanga hatua gani za kisheria wachukue. Kumekuwa na ongezeko kubwa la ugonjwa wa saratani huko Amerika ya Kusini. Je, ni kina nani hawa wanaopaaza sauti zao barani humo? Fuatilia ...