Habari kuhusu Afya kutoka Novemba, 2014
Hospitali Nyingi Nchini Guinea Zafungwa kwa sababu ya Virusi vya Ebola
Due to detection of new cases of Ebola, entire departments of national hospitals of Conakry have now been closed .
Kupambana na Utapiamlo Nchini Rwanda Kupitia Muziki
Wanamuziki maarufu wa Rwanda King James, Miss Jojo, Riderman, Tom Close, and Urban Boyz walijiunga na mapambano dhidi ya utapiamlo nchini Rwanda kupitia video ya muziki kwenye mtandao wa YouTube. Video hiyo pia inapatikana kwa maandishi ya Kiswahili .