Habari kuhusu Uhamiaji na Uhamaji
Mamlaka za Tanzania Zamshikilia na Kumfukuza Nchini Kiongozi wa Haki za Binadamu wa Uganda

Shirika la Haki za Binadamu Human Rights Watch linasema Tanzania imeshuhudia kushuka katika uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kukutana" chini ya serikali ya sasa
Miongo Minane Chuki Bado Ipo Kati ya Wajordani na Wapalestina
Ingawa kuishi pamoja kwa watu wawili huwafanya wawe na amani, ushirikiano mkamilifu bado haujawezekana kwenye baadhi ya maeneo ya maisha.
“Nilitamani Wajukuu wangu Wakulie kwenye Nyumba Ile”:Ushuhuda wa Mwanamke wa Syria mwenye Miaka 61 kutoka Zamalka

Nilitamani wajukuu wangu wakulie kwenye nyumba ile, na hivyo kuweza kuongozea uhai mpya nyumbani pale, kama walivyofanya mabubu zetu wa kila kizazi kilichopita.
Kinachotokea Pale Baba na Mama Wanapokaribia Kufukuzwa Nchini Marekani
Wakati wazazi wake wakipambana wasifukuzwe, ndugu hawa wanaoishi San Diego wameamua kutumia mitandao ya kijamii kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kugharamia matumizi ya kila siku.
Kubaki au Kuondoka Hakutoi Mustakabali wa Wakazi wa Al-Waer Nchini Syria
Waasi pamoja na familia zao wanaihamisha ngome yao kutoka kwenye jiji hili lililobatizwa jina la "Kitovu cha Mapinduzi". Hizi hapa ni baadhi ya simulizi zao.
Baada ya Tishio la Ebola Kuondoka, Marekani Yalitaka Kundi La Wahamiaji Kutoka Afrika Magharibi Kurejea Makwao
Waliingia Marekani kwa mujibu wa sheria kama watu waliotoka kwenye nchi zenye migogoro. Sasa, mgogoro umekweisha, lakini imekuwa vigumu kwao kurudi nyumbani.
Manusura Wasimulia Kuhusu Hatari za Kuhama Kupitia Jangwa la Sahara
"...most migrants wish to forget and move forward with their lives and therefore tend not to share their experience with peers who are still back home."
Wenyeji wa Melbourne Wawakaribisha Wakimbikizi wa Syria kwa Mikono Miwili—na Panzi
"Panzi wetu wanatukumbusha kuwa hata kitendo kidogo kinaweza kuwa na matokeo makubwa."