Habari kuhusu Uhamiaji na Uhamaji kutoka Aprili, 2019
Mamlaka za Tanzania Zamshikilia na Kumfukuza Nchini Kiongozi wa Haki za Binadamu wa Uganda

Shirika la Haki za Binadamu Human Rights Watch linasema Tanzania imeshuhudia kushuka katika uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kukutana" chini ya serikali ya sasa