Habari kuhusu Uhamiaji na Uhamaji kutoka Februari, 2014
Mwandishi Mwandamizi wa Kichina Akosolewa kwa Kujifungulia Marekani
"...anachotaka tu ni mwanae awe na mtindo wa kawaida wa maisha, kitu ambacho hakina uhusiano na uzalendo. Labda, hili ndilo tatizo ambalo serikali yapaswa kulitafakari..."
PICHA: Raia wa Costa Rica Waishio Nje ya Nchi Wapata Fursa ya Kupiga Kura
Huu ni uchaguzi wa kwanza wa Urais ambapo imewezekana watu walio nje ya nchi kuweza kupiga kura. Kutoka maeneo mbalimbali ya Dunia, raia wa Costa Rica wamekuwa wakitumia mtandao wa Twita kutaarifu kuhusiana na kupiga kwao kura.